CHADEMA Kuliburuza Mahakamani Jeshi la Polisi kwa Kukinyima Chama Hicho Uhuru wa Kufanya Kampeni


CHADEMA kuliburuza Mahakamani Jeshi la Polisi kwa kukinyima chama hicho uhuru wa kufanya kampeni za uchaguzi wa udiwani.

Katika uchaguzi mdogo wa kata ya kiwanja cha ndege Jeshi la Polisi lilitumia mabomu ya machozi na kuwakamata wanachama kadhaa wa CHADEMA.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad