Diamondplatnumz amekabidhiwa bendera kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya #AFCON2017


diamondplatnumz amekabidhiwa bendera ya Tanzania na waziri wa habari sanaa na michezo mh Nape nnauye ili kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya #AFCON2017 nchini Gabon ambapo atatumbuiza katika ufungizi wa mechi ya kichuano hiyo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad