Dogo Janja amefata walichokifanya AY, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee

Dogo janja ni msanii anayezidi  kufanya vizuri kwenye mziki wake tangu aliporudi upya amekuwa akionyesha utofauti mkubwa kwenye muziki wake kitu ambacho wasanii wengi wamekuwa wakimpongeza. Dogo janja ametumia ukurasa wake wa Instagram kutuonyesha muonekano wake mpya akiwa amevaa meno ya dhahabu kama walivyofanya, AY, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad