Hali si Shwari Wolper na Harmonize....Meseji Aliyopost Wolper Yaonyesha Wameachana


Jacline Wolper ame post hii halaf ghafla kafuta, hii maana yake nini wadau?
Jisomee alichoandika kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram:
Tags

Post a Comment

13 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mmmmh,Mapenzi SANAAAA,
    kila kitu cha msanii ni usaniiii.

    ReplyDelete
  2. Mahusiano ya wasanii hayadumu labda harmonize alikutumia kupata kili sasa amepata akaamua akuache au ulimtumia jamaa akachoka akaamua akuache

    ReplyDelete
  3. Wapo tofauti hao wawili huyo kijana kama mfungua geti wake

    ReplyDelete
  4. Hivi Wolper anajichubua au ni weupe wake?kama anajichubua naomba aniambie ni Cream gani anatumia na mimi nitumie mimi mwenyewe ni mweupe lakini nataka niwe mweupe kama wolper

    ReplyDelete
    Replies
    1. HIYO NI PICHA TU..HUJAMUONA LIVE

      Delete
    2. HIYO NI PICHA..UMEMUONA LIVE

      Delete
    3. kumbe ni weupe kwenye picha tu, sijawahi kumuona live

      Delete
    4. ajichubui mixer ya kizungu na kichagga hiyo

      Delete
  5. so these guys sing what happens in their lives....

    ReplyDelete
  6. Wolper ni geti la wana bongoflava kupitia ili wapate umaarufu. Harmonize alimwuliza diamond ni demu gani aliyeachana naye ambaye anadhani ndire aliyemfungulia mlango wa umaarufu, Diamond akajibu kuwa ni Wolper. Kumbuka kuwa Diamond naye alipiga gia kubwa kwa Wolper baada ya kuwa ameachwa na Alikiba kipindi hicho, akatumia sehemu kubwa sana ya laki tatu zake za kwanza kupata alipotoka Tanga kwa kumhonga Wolper pale Magomeni gesti, halafu baada ya kulamba mara moja tu akatoweka mpaka leo.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wolper anajirahisisha sana. Nilikuwa namuona Gensta sana kumbe Boya. Mbona Uwoya katulia hana mambo hizo?

      Delete

Top Post Ad

Below Post Ad