Hatariii...!! Ajali ya Basi na Lori la Mbao Yaua na Kujeruhi 32 Iringa ..!!!


Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 32 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Vitu Laini linalofanya safari zake kutoka vijiji vya Kilolo kwenda Iringa Mjini kugongana na lori la mbao karibu likiwa limekaribia kufika Iringa Mjini.ajali-iringa-4
Akizungumza  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Peter Kakamba amethibitisha kutokea kwa ajli hiyo na kueleza kuwa majeruhi wote wa ajali hiyo wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa.ajali-iringa-2“Ni kweli ajali imetokea leo asubuhi nje kigogo ya Mji wa Iringa, basi ndilo limelogonga lori kwa nyuma na kusababisha kifo cha mtu mmoja aliyeaga dunia palepale na kusababisha majeruhi 32.
“Majeruhi wote tumewapeleka katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa ambako wanaendelea kupatiwa matibabu mpaka sasa. ajali-iringa-1Alisema Kamanda Kakamba.Kuhusu chanzo cha ajali hiyo haijafahamika kama ni matatizo ya gari au mwendoksasi wa dereva hivyo Kamanda Kakamba amesema watatoa taarifa rasmi baabdaye kuhusu tukio hilo.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Basi lenyewe limechoka ile mbaya, kweli serikali inaruhusu mabasi kama haya yabebe abiria kweli? Ndiyo maana kila kukicha ajali haziishi, kule dar kuna mabasi mapya ya mwendo kasi, kwa nini mabasi mapya yasitolewe nchi nzima ili kuepuka ajali kama hizi na kuwaokoa watu, sababu watanzania watakwisha na ajali kama hizi zimeua wananchi wengi sana sababu sasa hivi watu wengi wanakufa na ajali kuliko magonjwa

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad