INASIKITISHA Hii Ndio Hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) Baada ya Kuathirika na Matumizi ya Madawa ya Kulevya


Hii kitu ya madawa ya kulevya inatuharibia kabisa watoto wetu. 

Huyu kijana nafikiri alishiriki Big Brother mwaka fulani na kuiwakilisha Tanzania. Na kwa sasa hii ndio hali ya afya ya Nando, zaidi ya Chiddy Benzino.

Huyu ndio kijana mwingine anayetoa "alarm" kwa vijana wa kisasa kuwa dawa za kulevya sio "ujanja" ni majanga. Unaweza kuanza na kuvuta kisirisiri, lkn majibu ya madhara yake yakawa hadharani na unapotoka hadharani basi muda unakuwa umekwisha kwenda.

Tuwasaidie vijana wetu waepukane na matumizi ya madawa ya kulevya.

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ni kuwaacha tu maana hawasikii,

    ReplyDelete
  2. 90% of tanzaniaz youth believe in entertainment as source of a super living...once its sour.... they are doomed....

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad