JE Young Dee bado anatumia madawa ya Kulevya? Maneja wake Apost Meseji yenye Utata


Je Young Dee bado anatumia madawa ya kulevya? Ni swali la kujiuliza baada ya meneja wa Young Dee kupost picha hiyo yenye maneno aliyoambiwa kuhusu mtu wake anayeishi naye nyumbani ambao wengi tunajua ni Mwanamuziki Young, kuwa mtu huyu anaendelea kutumia madawa kwa siri...

Katika caption ya picha hiyo Max ameandika haya:

From @maximilianrioba - Sina cha kusema! I will never feel sorry again! Never, ever!

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad