Kama Ulikuwa Hujui:Huu Ndio Mkataba Mpya aliosaini Diamond na Kampuni Kubwa ya Huko Afrika Kusini,Huu Ndio Mkwanja Atakaolamba..!!!

diamond-m1UMEISIKIA HII? Mwanamuziki mwenye taito kubwa kwa sasa, mtoto wa Tandale, Mkurugenzi wa Kampuniya WCB, Nassib Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mzazi mwenzake, Zarina Hassani ‘Zari’ wamelamba shavu kubwa baada ya kuvuta mkata wakupiga picha za kupendezesha jarida maarufu la Afrika Kusini, Papas And Mamas.



Mara baada ya picha hizo kusambazwa, zimekuwa gumzo kila kona kitu kinachowafanya watu wengi kulisubiria
mamas mitaani ambapo litaanza kutoka mwezi ujao (Februari). Kuhusu mkwanja waliolipwa mpaka kupiga picha hizo bado hauja wekwa wazi ila mtu wa karibu na Diamond alisema jamaa amevuta mkwanja mnono.

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. WAANDISHI WA HABARI WENGI NI WAONGO,UMEUNGAUNGA HABARI.F

    ReplyDelete
  2. WENYE WIVU WAJINYONGE!!! BRAVO DIAMOND!!! VERY NICE COUPLE!!!!

    ReplyDelete
  3. Dah Diamond kuwa na Zari chaguo sahihi!!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad