Kudadadeki..!!Unaikumbuka Ile Chura ya Snura,Sasa Ona hapa Jinsi Wanaijeria Wanavyoicheza na Kuiimba livee(Video)


Wimbo wa msanii Snura ambao ulifungiwa kwa mara ya kwanza na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) 'Chura' umeonekana kuwakosha baadhi ya raia wa Nigeria baada ya msanii mkubwa wa Nigeria Don Jazzy kujirekodi video huku akiimba na kucheza ngoma hiyo

Baadhi ya mashabiki wa Tanzania pia wamepokea vyema video hiyo na kutoa sifa nyingi kwa Don Jazzy kwa kitendo cha kuimba ngoma hiyo ya Singeli pia wametoa pongezi nyingi kwa Snura kwa ngoma yake hiyo.

"Lol TZ did I get it right?  #255 #Chura" alipost Don Jazzy 

Hii ni sehemu ya video hiyo

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad