LADY Jay Dee, Alikiba na Baraka The Prince Waongoza Katika Nyimbo Zilizodownloadiwa zaidi Mkito


Mtandao wa kuuza nyimbo za muziki nchini Mkito.Com, umetoa list ya nyimbo 5 za wasanii wa muziki nchini ambazo zimepakuliwa zaidi kupitia mtandao huo ndani ya mwaka 2016.

Mtandao huo umepost hiyo picha (hapo juu) kupitia twitter na kuandika:

Tunapofunga mwaka, hizi ni baadhi ya ngoma zilizowavutia wengi kwa mwaka 2016. Hebu tutajie zako tano ulizozikubali zaidi mwaka huu.

Kwa upande menaja na Alikiba na Barakah The Prince, Seven Mosha baada ya kuona taarifa hiyo ametweet:

Most downloaded @JideJaydee @BarakaThePrince @OfficialAliKiba 

Mtandao huo kwa sasa ni mmoja kati ya mitandao mikubwa nchini Tanzania ambayo inategemewa na wasanii
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad