Man Walter Alitaka Diamond Ashirikishwe Kwenye Wimbo wa Mr Blue Mboga Saba Badala ya Ali Kiba


P zone mc msanii kutoka micharazo ya mr blue
amefunguka kwenye FNL ya EATV na kudai Man
water alitaka Diamond ndio ashirikishwe kwenye
ngoma ya Mr blue #mbogasaba

. "Man water alitaka diamond aingize vocal kwenye wimbo
wa mr blue lakini haikuwa hivyo, Mr blue alitaka kiba
afanye kitu zaidi na tulipompigia simu kiba alifanya
heshima kubwa zaidi mimi mwenyewe sikutegemea"

Hata hivyo @pzone_mc aliongeza kwa kusema @man_water
alitaka kifanyike kitu zaidi ya pale alipofanya @officialalikiba
na ndio maana katafutwa mwanadada aingize tena sauti
kwenye kolabo hiyo
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad