Mbowe Amkabidhi David Kafulia Kadi ya CHADEMA

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amempongeza aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila kwa kujiunga na chama hicho kwa mara nyingine huku akisema kuwa kilichompata ni ajali ya kisiasa.

Mbowe alitoa kauli hiyo wakati akimkabidhi kadi ya uanachama Mhe. David Kafulila ambaye amehama kutoka NCCR Mageuzi katika Mkutano Mkuu wa Kanda ya Victoria uliofanyika jana Jijini Mwanza.

Alisema David Kafulila amerudi katika chama ambacho alikuwa amekizoea na ambacho ameshiriki katika kukijenga.

Tazama video hapo chini.....
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad