Mwana FA: Muziki wa Ma Group Ulishafeli, Hauwezi Kurudi Tena

Mwana Fa amadai kwa sasa muziki wa ma group hauwezi kulipa tena kutokana na hali ya uchumi wa muziki kwa sasa, ametolea mfano wa ma group ya muziki ya Marekani waliyokuwa wameyaiga kama D12 yalivyokufa na wasanii wake kubaki solo kwa kuwa ma group kiuchumi haulipi

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad