Mwanadamu wa Mwisho Kutembea Mwezini Gene Cernan Afariki Dunia.


MAREKANI: Mwanadamu wa mwisho kutembea mwezini Gene Cernan afariki dunia. Alirejea kutoka mwezini na ujumbe wa amani na tumaini kwa watu wote ulimwenguni.
Bwana Gene Cernan ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 82, siku zote aliwasisitiza vijana kufika mwezini ili wasimuache yeye pekee kubakia na sifa hiyo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad