Mwanamke Akamatwa Akitaka Kumtorosha Mpenzi Wake Gerezani Kwa Kumweka Kwenye Begi


VENEZUELA: Mwanamke mmoja(Antonieta Saouda) akamtwa akiwa katika harakati za kujaribu kumtorosha mpenzi wake(Ibrain Garcia) kutoka katika gereza la Jose Antonio Anzoategui.

Mwanamke huyo alikwenda kumtembelea mpenzi wake huyo akiwa na mtoto wao mwenye umri wa miaka 6 ndipo aliamua kumuweka katika begi la nguo na kuanza harakati za kumtorosha.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad