PICHA: Alikiba alivyofunga mwaka kwenye show yake ya Mombasa

Hitmaker wa Aje, Alikiba alifanya show wikiendi hii mjini Mombasa, Kenya ya kuuaga mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2017.

Show hiyo ilihudhuriwa na mashabiki lukuki wa mji huo na sehemu nyingine tofauti tofauti. Tazama picha zaidi hapa chini.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad