Rosa Ree: Wasanii wa Hip Hop Wananitaka! (Video)

MKALI wa Muziki wa Hip Hop Bongo, Rosa Ree kwa mara ya kwanza amefunguka kuwa, kuna wanamuziki wengi wa Hip Hop wanamtaka kimapenzi kupitia Global TV Online. Rosa Ree anayebamba na Ngoma ya One Time alisema kuwa, kwa sasa hana uhusiano na mwanaume yeyote japo kuna wakali kibao wa Muziki wa Hip Hop wamekuwa wakimtaka kimapenzi.

 “Nilishawahi kutongozwa na wasanii wenzangu wengi tu lakini kikubwa sitaki kuingia katika uhusiano kwani naamini kuwa na mtu unayemtaka ni mipango ya Mungu na siku ikitokea nitakuwa naye,” alisema Rosa Ree ambaye pia ni memba wa Lebo ya The

Industry. Tazama Video:
Stori: Credit to Andrew Carlos

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Diamond pia anakutaka

    ReplyDelete
  2. This particular papers fabulous, and My spouse and i enjoy each of the perform that you have placed into this. I’m sure that you will be making a really useful place. I has been additionally pleased. Good perform! Spotify Playlist Placement

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad