Wasanii Wanaotumia Unga Wamtesa Harmonize, Afunguka Kinachomuumiza

Baada ya kuibuka kwa jinamizi kwa upande wa wasanii wengi kuingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya, Harmonize amefunguka yake ya moyoni.

Hitmaker huyo wa Matatizo, ameamua kutoa yake ya moyoni kupitia mtandao wa Instagram kutokana na kile kinachoendelea na kuwakumba baadhi ya wasanii ambao walikuwa wakikubalika kwa mashabiki.

Kupitia mtandao huo, Harmo ameandika:

Daaah Mungu tunusuru na hili janga la #Unga mana sisi tuna ushawishi mkubwa na tunatizamwa na watu wengi walio timamu na wasio timamu pia tunaigwa….!!! kwanini isiwe kwa watu wengine…..?? mbona kila siku sisitu…..?? #Muzi & #Muvie 🙏
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad