Alichokisema Mange Kimambi Baada ya Mbowe na Manji Kutajwa Kwenye List ya Wahusika wa Madawa ya Kulevya..!!!


Operesheni tokomeza upinzani...... 😭😭😭😭 kesho atamtaja Lowassa. 😭😭😭😭
.
.
I'm sorry Sina la kuongea bado nimefreeze kusikia Mbowe ametajwa..., Mwili umekufa ganzi... Mimi sio chadema wala sio fan Wa Mbowe lakini akili imeniruka kusikia Mbowe katajwa, wakifanikiwa kumtake Mbowe down basi na chadema imekwishaaaaa na 2020 hakutakuwa na Upinzani...... Dah nimeishiwa Nguvu kabisaaaaaaaaa... yani ndo maana Magufuli anatujibu kunya kila siku, anajua 2020 atakuwa kaumaliza upinzani......Magufuli na Makonda Mungu Anawaona.😭😭😭😭😭😭😭😭
.
.
Huyo gwajima kama kweli anauza madawa Mungu ndo anaejua sisi hatujui lakini 100% gwajima wanamtaka sababu ndo mfadhili mkubwa wa Chadema..... Anawapaga pesa nyingi sana kwenye kampeni, kuanzia wabunge huwa anawafadhili...Anyways, Mimi Mbowe kutajwa ni kama msiba Yani its means Chadema is over.... Wakiweza kumfunga mbowe Chadema is done.....
.
.
Yusuf Manji ni mtumiaji wa madawa... he is a user sio drug dealer. Ila Yusuf Manji ndo mfadhili mkubwa wa Lowassa....Yani Manji ni mmoja ya watu waliomfadhili Lowassa kwenye kampeni ya 2015. Although yeye ni CCM Ila pesa ya lowassa kwenye siasa kwa kiasi kikubwa mnoooooo ni pesa ya Manji... Manji ni old money , Manji kwao ubilionea ulianzia kwa Babu he is not a drug dealer... Naombeni muingie google msearch Yusuf Manji and Lowassa ndo mtaelewa Manji huwa anampa Lowassa pesa kiasi gani na zamani alikuwa anatoa pesa kwa wagombea wa CCM hata Kikwete alimfadhili for the first time 2015 Manji alimfadhili mgombea wa upinzani na sio Wa CCM....CCM kampeni ya 2015 wamekopa mnoooo waliumia mnooo sababu financial backers waliondoka na Lowassa.....
.
.
Kusema ukweli nimeumia Leo kushinda hata ya Wema sababu hiii ya Leo inawahikikishia CCM ushindi wa 2020 😭😭😭l😭😭... Basi nimekubali CCM ni akili kubwaaaaa. Upinzani hawachomokiiiii 2020 sio kwa mkakati huuu. Dah is soooooo sad!
.
.
Na kawataka Ijumaa ili awalaze ndani mpaka Jumatatu... Aisee Magufuli na Makonda ni dream couple....

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. MAKONDA ANAUTAFUTA UMAARUFU WA KISIASA KWA NGUVU NA KWA NJIA ISIYO SAHIHI

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad