Ben Apima Akimbia Majibu ya Ngoma...!!!


MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Abdul Ahmed ‘Ben’ amedaiwa kupima maambukizi ya virusi vya ugonjwa hatari wa Ukimwi (Ngoma) na kukimbia akidaiwa kuhofi a majibu.

Chanzo makini kililitonya gazeti hili kuwa muigizaji huyo alionekana kwenye kituo f’lani cha afya maeneo ya Kigogo jijini Dar akipima Ukimwi lakini alipokuwa akisubiri majibu kwenye benchi, ghafl a alitimka na kuondoka eneo hilo.

Alipopigiwa simu na mwanahabari wetu na kuelezwa mchongo mzima, Ben alishtuka na kukiri lakini akadai si kwamba alikimbia bali alipata dharura na atarejea kuyachukua majibu. “Nimepata dharura, pale nitarudi tu kuchukua majibu si kwamba nimekimbia moja kwa moja,” alisema Ben.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad