HUKUMU ya Kesi ya Sheria ya Makosa ya Mtandao iliyofunguliwa na Jamii Media Yashindikana Kusomwa


Hukumu ya Kesi ya Sheria ya Makosa ya Mtandao iliyofunguliwa na Jamii Media yashindikana kusomwa. Sababu za msingi hazijaelezwa.

Jaji Koroso ambaye pia alikuwa akisimamia kesi hiyo amehamishiwa katika Mahakama ya Ufisadi.

Aidha mpaka sasa haijajulikana ni lini Kesi hii iliyofunguliwa tarehe 4 mwezi Machi mwaka jana itatolewa hukumu.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad