Kenya Yasalimu Amri..Rais Kenyatta Atangaza Janga la Ukame na Ukosefu wa Chakula


KENYA: Rais Uhuru Kenyatta jana alitangaza hali ya ukame kuwa ni janga la kitaifa baada ya kuyakumba majimbo 23 katika muda wa miezi 6.

Rais Kenyatta aliwaonya watu wanaosambaza chakula cha misaada kutouza chakula hicho ili watajirike.

Shirika la kimataifa la Msalaba Mwekundu limeonya kuwa takribani watu 11 kutoka Kenya, Ethiopia na Somalia wako katika hatari ya kufa njaa.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad