KUTOKA Mahakamani: Mbowe Kuendelea Kutokamatwa na Polisi Wala Kuwekwa Kizuizini


Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu ameongea na waandishi wa habari jioni hii  baada ya kutoka Mahakamani  kwenye kesi iliyofunguliwa na Freeman Mbowe dhidi ya Mkuu wa Mkoa w Dar Paul Makonda  na Kamshna Sirro.


Lissu amesema Amri ya kuzuia Freeman Mbowe asikamatwe na wala kuwekwa kizuizini na Polisi inaendelea isipokua wanaweza kumuita kwa Mahojiano ambapo pia Mahakama itatoa maamuzi Tarehe 2, March  2017
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Imekuwa ya kizuizini tena ila anaweza kuitwa na polisi na kuhojiwa kwani kwanza alipoitwa kuhojiwa si aligoma mbowe kulikuwa na taarifa atawekwa kizuizini mbona hamkusema aliambiwa atawekwa kizuizini mbona cdm mnatafuta kiki kirahisi

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad