Nimekusogezea Picha za Rais Mstaafu wa Marekani Barack Obama Akila Raha na Mkewe Katika Kisiwa cha British Virgin Livee..!!!


Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama na mkewe Michelle wanaendelea na mapumziko yao huko British Virgin Islands, na Jumanne hii waliungana na mwenyeji wao, bilionea wa Uingereza, Richard Branson.

Obama na mkewe walisafiri kutoka Palm Springs walikokaa siku za wikiendi kwenda kwenye visiwa hivyo kwenye private jet ya Branson.


Wawili hao wanaaminika kuwa wamefikia kwenye moja ya visiwa vinavyomilikiwa na bilionea huyo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad