Wema Sepetu Atinga Maahakamani....Kesi Yaahirishwa Hadi March 15


Mwigizaji Wema Sepetu leo alienda tena  Mahakamani baada ya kuachiwa kwa dhamana kwenye sakata la dawa za kulevya baada ya kutajwa na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.


Kesi hiyo imeahirishwa hadi  15 March 2017 baada ya upande wa Mashtaka kusema upelelezi bado  haujakamilika 

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HAPO HAKUNA CHA KUPELELEZA.. MNAPELELEZA UPUMBAVU? MMEMBAMBIKIA VITHIBITI NA MNATAFUTA NJIA YA KUMFUNGA BILA MAKOSA...

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad