Alichokisem Muimbaji Gwiji Afrika Yvonne Chaka Chaka wa Afrika Kusini Kuhusu Rais Magufuli...!!!!


Mwimbaji mashuhuri duniani na hasa katika bara la Afrika, Yvonne Chaka Chaka amesema anatamani sana katika maisha yake kukutana na Rais Magufuli. 

Mwimbaji huo amesema Rais Magufuli anaugusa moyo wake kutokana na utendaji kazi wake na ameshauri marais wengine wajifunze kutoka kwake kutokana na utendaji kazi wake.

Amemalizia kwa kumpongeza Mama Salma Kikwete kwa kazi nzuri anazozifanya katika kusaidia watoto hasa wasichana katika kupata elimu.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad