Baada ya Kutua Clouds Fm na EFM,Gwajima Leo Kusikika Live Kupitia Radio One na ITV...!!!


Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Bishop Josephat Gwajima amesema kuwa Ijumaa hii atatembelea IPP media kwaajili ya kuwapa pole wana tasnia ya habari kwa yaliyotokea.

Ijumaa iliyopita kituo cha Clouds kilivamiwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa na askari wenye mitutu kitendo kilichopingwa na wadau mbalimbali wa habari.

“Leo  24/03/2017 nitatembelea ofisi za IPP Media ikiwa ni ziara Ya kuwapa pole wanatasnia ya Habari kwa yaliyotokea,” ameandika kupitia akaunti yake ya Instagram.

Alhamisi hii Askofu huyo ametembelea EFM redio na TVE.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad