Baada ya TID Kumfananisha na Panya..Steve Nyerere Ampa Jibu Hili ...!!!


Msanii mchekeshaji Steven Nyerere ameendelea kum diss TID kwa kusema ni mtu ambaye wakati wake umepita na pia hajielewi na hawezi kujifananisha naye
Amedai msanii huyo anaishi kwao na amekuwa akimpiga vizinga vya 10,000 na 5,000 kila akiona gari lake huku yeye akiwa ana nyumba na anatunza familia na kununua mafuta ya magari kadhaa

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad