Ehe..Tundu Lissu Azidi Kumchokonoa Magufuli,Safari Hii Amemuibukia Katika Issu Hii ..!!!!


Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu akiwa anahojiwa na Mwananchi amezungumzia maswala ya Lipumba na CUF na future ya upinzani

Amedai Lipumba kutumiwa na CCM ni kutawafanya wapinzani waungane kuliko hata mwazoni

Akaziungumzia bajeti amedai kati ya bajeti ya trilioni 29 ambazo 11 ni za fedha za maendeleo imepelekwa trilioni 3 tu, 

Katika fedha za matumizi ya kawaida, Halmasahauri zimepata fedha kidogo kuliko miaka yote,

Amesema takwimu za makusanyo ya matrilioni niza uongo, kwani zingekuwa za kweli fedha zingeonekana katika miradi ya maendeleo , matumizi ya serikali na ajira

Tundu lIssu amesema pia yeye ni wakili na mawakili kwa sasa hivi kazi kubwakwa sasa hivi ni kufunga makampuni kitu kinachoonyesha biashara nyingi zinafungwa

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad