Fahamu Sifa za Lazima Wanazotakiwa Kuwanazo Walinzi wa Papa Fransic Huko Vatican


Sehemu ya walinzi wanao linda makao makuu ya papa (baba mtakatifu) huko Vatican .

Vigezo vya kuwa mlinzi wa Vatican ni kama ifatavyo:

1.Lazima uwe mkatoliki


2.Lazima uwe haujaoa (msela).

3.Lazima uwe lraia wa Uswiswi (Swiss citizen)

4.Uwe na umri wa kati ya miaka 19-30.
5.Uwe na urefu wa anagalau sentimenta 175 .(175 cm) 

6.Wanatumia ndogo ndogo za kisasa na za kienyeji .

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad