Fake News: Watangazaji 9 wa TBC Waliotangaza Trump Amsifia Rais Magufuli, Wasimamishwa Kazi...!!


Watangazaji tisa(9) wa TBC 1 walioandaa, kuandika na kutangaza habari juu ya Rais wa Marekani Donald Trump kumsifia Rais Magufuli wamesimamishwa kazi.

Mkurugenzi wa TBC Ayubu Ryoba alikasirika sana na kuamua kuwasimamisha wafanyakazi hao wakiongozwa na Gabriel Zhakaria.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad