Habari za Hivi Punde..Polisi Wamkamata Gwajima Tena. Afanyiwa Upekuzi Upya!!!!


Polisi jijini Dar wamemkamata Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Leo siku ya Ijumaa akiwa nyumbani kwake na inasemekana wameweza kumfanyia upekuzi upya.

Gwajima amepelekwa Central na taarifa zaidi zitafuatia

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad