Hali ya Rais Robert Mugabe Yazidi Kuwa Mbaya, Apelekwa Singapore

 Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe ameenda nchini Singapore kufanya vipimo vya Afya yake, siku chache baada ya sherehe ya kufikisha miaka 93.

Afya ya kiongozi huyo imekua dhaifu zaidi, na sasa anapata shida hata kutembea wakati wa matukio mbalimbali ya kitaifa.

Msemaji wa rais huyo alisema kuwa vipimo hivyo ni vya mara kwa mara na Rais anatarajiwa kurejea nchini Zimbabwe wiki ijayo.



Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mungu atampa uzima babu wa Zimbabwe

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad