Haya Ndio Aliyosema Mama Salma Kikwete Baada ya Kuteuliwa Kuwa Mbunge,Azungumzia Pia Heshima Yake kwa Jamii..!!!


Baada ya kupewa muda kuwasalimia wananchi kwenye Uwanja wa Michezo wa Mjini Lindi, Ilulu leo tarehe 3 Machi 2017; Pamoja na mambo mengine Mama Salma Kikwete amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli kwa kumteua kuwa Mbunge. Kwamba, tukio alilofanya Rais tarehe 1 Machi 2017 kwa kumteua kuwa mbunge limempa heshima kwake na mkoa wa Lindi kwa ujumla.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad