Kimenukaaa.. : Joshua Nassari Aibuka Sakata la Nape na Kuandika Ujumbe ‘Tata’..!!!


Mbunge wa Arumeru Mh. Joshua Nasari ameandika ujumbe mzito sana kwa ajili ya kuwakumbusha watanzania hasa Mwakyembe ni Mtu wa namna gani hasa baada ya kusema kuwa Ripoti ya Nape Nnauye juu ya Uvamizi wa RC Makonda alioufanya katika kituo cha Clouds tv.

Nasarri Ambae ni mbunge Machachari sana, kupitia Ukurasa wake wa Facebook ameandika yafuatayo; “Dunia inazunguka kwa Kasi, Leo Mwakyembe anasema hawezi kuifanyia kazi Ripoti ya kamati ya Nape Nnauye kwa sababu ni ya upande moja na upande wa pili haikusikilizwa,Mwaka 2008 Mwakyembe aliwasilisha Bungeni Ripoti ya Richmond iliyomtuhumu Edward Lowassa bila ya kumhoji Mhusika Mkuu kwenye ripoti ya Richmond Edward Lowassa.”

Nini Maoni yako juu ya hili?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad