Kimenukaa..Mchungaji Peter Msigwa wa Chadema Atoa Povu Hili Baada ya Nape Kutumbuliwa Leo Asubuhi...!!!


Mchungaji Peter Msigwa Leo Kupitia Ukurasa wake wa Twitter Ameweka azi jinsi alivyolipokea suala la Aliyekuwa WAZIRI  wa Habari sanaa,Utamaduni na Michezo Mhe Nape Nnauye Kutumbuliwa na Rais Magufuli.

Kwa Magufuli bashite ni mhimu  na ni bora kuliko Nape ndani ya chama na serikali! Hongera JPM!

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. MSIGWA KONDOO WA BWANA UMEMUACHIA NANI?

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad