Laurence Masha Ajitoa Kugombea Urais TLS, Amuunga Mkono Tundu Lissu

Mgombea Urais wa Chama cha Wanasheria nchini (TLS) Ndg. Laurence Masha amejitoa kwenye kinyang'anyiro hicho kwa hoja kuwa anaamini uwezo wa Lissu katika kuiongoza TLS.

Amewaomba mawakili wote waliopanga kumpigia kura wampigie Tundu Lissu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad