Lema: Viongozi wa Dini Wakiendelea na Uoga Nitafungua Kanisa, Naliita Godbless Church..!!!!


Akihutubia mkutano wa hadhara jana tindigani Arusha.Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amewatupia lawama viongozi wa dini kwa kuwa waoga hata pale wanapoona katiba na sheria za nchi zinakanyagwa wazi wazi.

Lema ameenda mbali na kusema kama viongozi hao hawatabadilika na kuendelea kuwa waoga na wanafiki atafungua kanisa lake na kuliita Godbless lema church!

Amesisitiza haiwezekani viongozi wa dini wanahubiri mbiguni kuna barabara ya dhahabu lakini wao wanakuwa waoga kwenda kuipita barabara hiyo.Asemema viogozi wa dini wamekuwa waoga na uoga ni dhambi mbaya zaidi.

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwa nini kanisa?wewe unapaswa kufungua sober house.

    ReplyDelete
  2. ha ha haaaaaaaaaaaaa yes sober house

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad