Maneno ya Nape baada ya taarifa ya kutumbuliwa Uwaziri asubuhi hii


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri ambapo sehemu ya mabadiliko hayo ni kumteua Waziri mpya wa Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo… na taarifa kamili ndio hii hapa chini kutoka IKULU.


Aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ameandika kupitia account yake ya Twitter ‘Ndugu zangu naomba TUTULIE! LEO mchana nitakutana na Wanahabari na tutalizungumza hili. Nitawaambia saa na mahali, kwasasa naomba TUTULIE!’
Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. jamani mbona waziri mkuu yupo kimya sana tokea sakata hili la bashite lianze? utadhani hayupo nchini jamani hata hasikiki, na hivi ni mpole mbaba wa watu mweeh! pole Nape kwa kutetea wanyonge

    ReplyDelete
  2. ANOGOPA MAKONDA

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad