Mwakyembe Atangaza Kipaumbele cha Kuwapatanisha Diamond na Ally Kiba...!!!


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harisson Mwakyembe amepokelewa na wafanyakazi wa Wizara yake Mjini Dodoma huku akiahidi kuwaweka pamoja wasanii Diamond na Ally Kiba.

Pia amefurahishwa na matokeo ya Stars ndani ya wiki kutokana na kuzifunga Botswana na Burundi.

Pamoja na hayo, ameahidi kuliondoa neno kichwa cha mwendawazimu katika Soka.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad