Ni Mlipuko..Huu Ndio Mchezo Atakao Ufanya Gwajima Kesho Jumapili Kuhusu Makonda na Vyeti Vyake vya Elimu...!!!


Baada ya jumapili iliyopita kuweka wazi cheti cha matokeo ya Makonda na hujuma zake za kumtumia dada kupotosha umma,Dr.Gwajima pamoja na mahubiri,kesho ataendelea kuwafunulia watanzania. Kesho ataweka wazi cheti cha Paul Christian mwenyewe ambacho ni cheti alichokitumia Makonda kupatia elimu ya chuo

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Gwahima haya ni ulivyo muuliza Harorapa umesema Huna Bado. Ananisumbua . Makonda utamuona hivi hivi akitujengea Dar Mpya. Mbatize jina mwingine mwite makoshite pia haimsumbui. Chungajimzima umeingia dawa sasa kashfa. Na unafai umeleleka mmsikiti ni tukwite asumani au peter? Harmorapa umemualika Natuma misaa hiyo?

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad