Noma Sana Hii..Diamonda Awachana Clouds Fm na EFM,Adai Hategemei Kiki Kutoka Kwao Ili Afanikiwe...!!!


Diamond Platnumz amesema kwa sasa redio na TV si vyombo anavyovitegemea sana kwaajili ya promotion pindi anapokuwa akiachia nyimbo.

“Mimi nikiwa natoa nyimbo yangu, promotion yangu siwazi redio wala siwazi TV, ever. Promotion yangu ya kwanza mimi nawaza nyimbo iwafikiaje watu, kuna mitandao ya kijamii, kuna digital platform nyingi,” staa huyo alisema kwenye kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz.

Alidai kuwa zama za kundi Fulani la watu likiamua kumrudisha nyuma msanii, halipo tena kwa wasanii wenye nguvu kama yeye.

“Tufute zile ‘naweza nikamdhuru mtu fulani ninavyotaka mimi’ vile vitu havipo tena,” aliongeza.

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mr dai nae anakamdomo

    ReplyDelete
  2. Always respect your beginning. Hapo ulipofika ujue ni hao radio stations ndiyo wamekufikisha hapo ulipo. Don't ever forget that.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad