Noma Sana..Mange Kimambi Afunguka Haya Baada ya Mwigulu Nchema Kutaka Askari Aliyemuonyesha Bastola Nape Kukamatwa...!!!


Ahsante Mwigulu., naamini mkuu hatokutumbua sababu alietoa bastola hakuwa Daudi Bashite... Ingekuwa ni Daudi Bashite alietoa Bastola Alafu wewe ukaagiza Hatua zichukuliwe ungeondoka kaka. Haki vile ingekuwa Mtoa Bastola ni Daudi Bashite Alafu ukato agizo hili saaa hivi ningekuwa nachangisha michango ya Farewell party yako!!

Alafu Vipi makosa ya Bashite?? Huyo mbona humgusi?? 😭😭 Nakutania tu , linda kibarua chako mwaya, Huyo Hata ukimuita kwa mahojiano tu kazi huna!!!

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. wee mange kimavi kweli jitie kiherehere tu utakwend na maji shauri yako

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad