Rumishael Shoo (Rummy) Ashikiliwa na Polisi Kwa Tuhuma za Dawa ya Kulevya

Kamanda Sirro akiongea na waandishi wa habari amesema Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwakamata wahalifu mbalimbali, silaha na magari mawili aina ya Noah yaliyokuwa yakitumika kufanya uhalifu.

Miongoni mwa aliowataja Kamanda Sirro ni pamoja na Vanessa Mdee na Rumishael.

Huyu Rumishael amekuwa akitajwa kwa muda mrefu kujihusisha na biashara hiyo haramu, aliweza kuwaweka polisi mikononi ikiwa pamoja na kuwajengea kituo cha polisi Mwananyamala(Inasemekana).

Huyu huyu mwaka jana TRA ilishikilia magari yake matatu ambayo ni V8 gold plated,Benz gold plated na Benzi metalic blue ambayo yalibainika kuingizwa nchini bila kulipiwa kodi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad