Siku Chache Baada ya Kustaafu Jeshi..Jenerali Mwamunyange Afunguka Haya...!!!


Mkuu wa majeshi mstaafu Jeneral Davis Mwamunyange amewetaka watanzania kudumisha uzalendo,mshikamano na umoja wa kitaifa pamoja na kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika kulinda nchi.

Aidha baada ya ya ukaguzi wa gwaride rasmi lililokuwa na Gads 6 lilitengeneza umbo la Omega ikiwa ni ishara ya kuashiria mwisho ambapo baadae generali mstaafu alishuhudia ndege vita zikipita kutoa salamu za heshima.

Ifahamike kuwa Jeneral Davis Adolf Mwamunyange amehudumu kwa nafasi mbalimbali ndani na nje ya jeshi,aliwahi kuwa mtaalam wa kijeshi kwenye kamati ya ukombozi wa nchi za kiafrika chini ya OAU,mkurugenzi wa idara ya mahusiano ya kimataifa makao makuu ya jeshi,mkuu wa jeshi la kujenga taifa ,chief of staa na baadaye akateuliwa kuwa CDF madaraka aliyohudumu hadi anastaafu utumishi katika jeshi hilo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad