Tanesco Yatoa Tahadhari Hii Kufuatia Mvua Zinazonyesha...!!!

Shirika la umeme Tanzania (TANESCO),limetoa tahadhari kwa wateja wake na wananchi kwa ujumla juu ya mvua zinazonyesha. Miongoni mwa tahadhari hiyo ni pamoja kutofanya biashara katika miundo mbinu ya umeme.




Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad