Tuweni Makini Wakati wa Kuwapa Watoto Majina...!!!


Hili limekuwa tatizo sasa, wazazi mnawapa watoto wenu mizigo bila kujua. Majina yana tabia ya ku-reflect tabia ya mhusika... Mfano mtu anaitwa mashaka, tabu, shida, mawazo,hatia,majuto.
Matokeo yake mtoto akiwa mbaya mnaanza kumlaumu kumbe shida ni nyie. 

Mfano mtu anaitwa kilevi... Alafu unategemea awe na busara kweli.. Matokeo yake ndo haya mnakuja kuwapa watu shida buree.
Kuweni makini.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad