Ummy Asema Maombi ya Madaktari Kwenda Kenya Yanamiminika Wizarani...




Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewahakikishia madaktari wa Tanzania usalama wakiwa nchini humo.

Alisema Serikali haina uwezo wa kibajeti wa kuajiri madaktari wote waliopo nchini licha ya kuwa kuna upungufu kwenye hospitali na vituo vya afya.
“Hiyo ni fursa kwa madaktari wasio na ajira kuichangamkia, ni hiari yao kuomba au kutoomba,” alisema.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad