VIDEO: Tundu Lissu Alivyohutubia Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kuchaguliwa Kuongoza TLS

Mwanasheria Tundu Lissu ameibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa Rais wa chama cha wanasheria Tanganyika ‘TLS’.
Katika uchaguzi huo uliofanyika katika ukumbi wa kimataofa wa mikutano wa Arusha ‘AICC’ Lissu alitangazwa mshindi kwa kupata kura 1,411 kati ya kura 1,682 zilizopigwa.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad