Zitto Awashauri Wanahabari Kugomea Kutoa Habari za Serikali


Zitto afunguka haya hapa chini baada ya kauli ya Magufuli leo


Mdau una Maoni Gani?
Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Na hizi njaa?
    Sijui

    Lakini katika watu wataikomboa hii nchi ni wanahabari watakaojitolea kwa dhati. Wabunge. Wanasheria. Police imani nao ilokwisha long time.

    Sasa nimeelewa why mkulu huwasifia kuwa police wanawajibika 100% kumbe kwa kuwa hawafati taratibu za kazi yako Bali wanayoamrishwa na mwenye nchi?!!

    Vote no the presidaa###

    ReplyDelete
  2. Angry Face .. wewe kumbe ni duji. Makonda anafanya kazi nzuri na ameanzisha vita kubwa haya yote tuliyategemea. na yanatokea.. Endela Makonda. Hapa Kazi Tu. wakwite bashite au shite au bite yote ni yako na ni Poa tu....Hatutetereki na Vita Hii. Hubiri mpaka upasuke watu watakusikia usiku watalala asubuhi siku mpya na kazi endelea.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad